Hesabu 25:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Waisraeli walipokuwa wakikaa Shitimu,+ watu walianza kufanya uasherati na mabinti wa Moabu.+ Kumbukumbu la Torati 9:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo kwa hakika nitawapa!’ mliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkuonyesha imani+ kumwelekea wala hamkumtii.
23 Yehova alipowatuma kutoka Kadesh-barnea+ na kuwaambia, ‘Pandeni mwimiliki nchi ambayo kwa hakika nitawapa!’ mliasi tena agizo la Yehova Mungu wenu,+ nanyi hamkuonyesha imani+ kumwelekea wala hamkumtii.