16 Kumbukeni kwamba hao ndio waliochochewa na Balaamu kuwashawishi Waisraeli wakose uaminifu+ kwa Yehova kule Peori,+ na kuwaletea pigo watu wa Yehova.+
14 “‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaofuata fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.*+