17 “Wachokozeni Wamidiani na kuwaangamiza,+ 18 kwa sababu wamekuwa wakiwachokoza kwa hila zao kama ilivyokuwa kule Peori+ na pia kuhusiana na Kozbi binti ya mkuu wa Midiani, dada yao aliyeuawa+ wakati pigo lilipotokea kwa sababu ya mambo yaliyotokea Peori.”+