Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 25:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Wachokozeni Wamidiani na kuwaangamiza,+ 18 kwa sababu wamekuwa wakiwachokoza kwa hila zao kama ilivyokuwa kule Peori+ na pia kuhusiana na Kozbi binti ya mkuu wa Midiani, dada yao aliyeuawa+ wakati pigo lilipotokea kwa sababu ya mambo yaliyotokea Peori.”+

  • Kumbukumbu la Torati 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Macho yenu wenyewe yameona mambo ambayo Yehova alitenda kuhusiana na kisa cha Baali wa Peori; Yehova Mungu wenu alimwangamiza kila mtu miongoni mwenu aliyemfuata Baali wa Peori.+

  • Yoshua 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Je, dhambi tuliyotenda kule Peori haikutosha? Mpaka leo hatujajitakasa kutokana nayo hata ingawa kusanyiko la Yehova lilipata pigo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki