Hesabu 25:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa hiyo Waisraeli wakashiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori,+ na hasira ya Yehova ikawaka dhidi yao. Hesabu 31:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kumbukeni kwamba hao ndio waliochochewa na Balaamu kuwashawishi Waisraeli wakose uaminifu+ kwa Yehova kule Peori,+ na kuwaletea pigo watu wa Yehova.+
3 Kwa hiyo Waisraeli wakashiriki katika kumwabudu* Baali wa Peori,+ na hasira ya Yehova ikawaka dhidi yao.
16 Kumbukeni kwamba hao ndio waliochochewa na Balaamu kuwashawishi Waisraeli wakose uaminifu+ kwa Yehova kule Peori,+ na kuwaletea pigo watu wa Yehova.+