18 kwa sababu wanawasumbua ninyi kwa matendo yao ya ujanja+ ambayo wamewatendea ninyi kwa ujanja katika lile jambo la Peori+ na katika lile jambo la Kozbi+ binti ya mkuu wa Midiani, dada yao ambaye alipigwa na kuuawa+ katika ile siku ya tauni kuhusu lile jambo la Peori.”+