Kumbukumbu la Torati 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Lakini licha ya hayo yote, hamkuwa na imani katika Yehova Mungu wenu,+ Zaburi 106:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha wakaidharau ile nchi inayotamanika;+Hawakuwa na imani katika ahadi yake.+ 25 Waliendelea kunung’unika katika mahema yao;+Hawakuisikiliza sauti ya Yehova.+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuingia kwa sababu walikosa imani.+
24 Kisha wakaidharau ile nchi inayotamanika;+Hawakuwa na imani katika ahadi yake.+ 25 Waliendelea kunung’unika katika mahema yao;+Hawakuisikiliza sauti ya Yehova.+