Zaburi 78:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa sababu hawakudhihirisha imani katika Mungu;+Hawakuutumaini uwezo wake wa kuwaokoa. Zaburi 106:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha wakaidharau ile nchi inayotamanika;+Hawakuwa na imani katika ahadi yake.+ Waebrania 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+ Waebrania 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuingia kwa sababu walikosa imani.+ Yuda 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+
16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+
5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+