Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa sababu hawakudhihirisha imani katika Mungu;+

      Hawakuutumaini uwezo wake wa kuwaokoa.

  • Zaburi 106:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kisha wakaidharau ile nchi inayotamanika;+

      Hawakuwa na imani katika ahadi yake.+

  • Waebrania 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana ni nani waliosikia na bado wakamchochea kuwa na hasira kali? Kwa kweli, je, si wale wote waliotoka Misri chini ya Musa?+

  • Waebrania 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo tunaona kwamba hawakuingia kwa sababu walikosa imani.+

  • Yuda 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ingawa mnajua vizuri mambo yote haya, nataka kuwakumbusha kwamba ijapokuwa Yehova* aliwaokoa watu kutoka nchi ya Misri,+ baadaye aliwaangamiza wale waliokosa imani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki