Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:1-3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kusanyiko lote la Waisraeli likaondoka katika nyika ya Sini+ hatua kwa hatua kama Yehova alivyoagiza,+ wakapiga kambi Refidimu.+ Lakini watu hawakuwa na maji ya kunywa.

      2 Basi watu wakaanza kugombana na Musa+ wakisema: “Tupe maji ya kunywa!” Lakini Musa akawauliza: “Kwa nini mnagombana nami? Kwa nini mnaendelea kumjaribu Yehova?”+ 3 Lakini watu walikuwa na kiu sana mahali hapo, nao wakaendelea kumnung’unikia Musa+ wakisema: “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili kutuua kwa kiu sisi na wana wetu na mifugo yetu?”

  • Hesabu 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani!

  • Hesabu 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki