Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 5:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa hiyo wasimamizi wa Waisraeli wakatambua kwamba wako katika shida kubwa kwa sababu ya amri hii: “Msipunguze hata kidogo idadi ya matofali mnayopaswa kufyatua kila siku.”

  • Kutoka 5:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mara moja wasimamizi hao wakawaambia: “Yehova na awatazame ninyi na kuwahukumu, kwa maana mmefanya Farao na watumishi wake watudharau* nanyi mmeweka upanga mkononi mwao ili watuue.”+

  • Hesabu 14:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waisraeli wote wakaanza kumnung’unikia Musa na Haruni,+ na wote wakawalalamikia wakisema: “Laiti tungalifia katika nchi ya Misri, au laiti tungalifia hapa nyikani! 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+

  • Hesabu 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Watu wakagombana na Musa+ wakisema: “Laiti tungekufa ndugu zetu walipokufa mbele za Yehova!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki