Hesabu 14:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+
3 Kwa nini Yehova anatuleta kwenye nchi hii ili tuuawe kwa upanga?+ Wake zetu na watoto wetu watakuwa mateka.+ Je, si afadhali turudi Misri?”+ 4 Hata waliambiana: “Na tuchague kiongozi, turudi Misri!”+