23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+
8 “ ‘Hivi karibuni nitaimwaga ghadhabu yangu juu yako,+ nami nitaitimiza hasira yangu juu yako,+ nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote.