Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 12:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Lakini msipoisikiliza sauti ya Yehova,+ na ikiwa kwelikweli mtaliasi agizo la Yehova,+ hakika mkono wa Yehova utakuwa kinyume chenu na baba zenu.+

  • 1 Samweli 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwa maana uasi+ ni sawa na dhambi ya uaguzi,+ na kwenda kwa kimbelembele ni sawa na kutumia nguvu za uchawi na terafimu.+ Kwa kuwa umelikataa neno la Yehova,+ basi yeye pia amekukataa wewe usiwe mfalme.”+

  • Zaburi 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakika Mungu atawahesabia hatia;+

      Wataanguka kwa sababu ya mashauri yao wenyewe.+

      Na watawanywe katika wingi wa makosa yao,+

      Kwa sababu wamekuasi wewe.+

  • Isaya 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini mkikataa+ na kwa kweli muwe waasi, mtaliwa na upanga; kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”+

  • Isaya 63:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini wao wenyewe waliasi+ na kuihuzunisha roho yake takatifu.+ Sasa alibadilika akawa adui+ yao; yeye mwenyewe alipiga vita juu yao.+

  • Ezekieli 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “ ‘Hivi karibuni nitaimwaga ghadhabu yangu juu yako,+ nami nitaitimiza hasira yangu juu yako,+ nami nitakuhukumu kulingana na njia zako+ na kuleta juu yako machukizo yako yote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki