2 Wafalme 18:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Yehova akawa pamoja naye.+ Popote ambapo alienda, alitenda kwa busara;+ naye alimwasi mfalme wa Ashuru wala hakumtumikia.+ Methali 29:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutetemeshwa na wanadamu ndiko huleta mtego,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atalindwa.+ Luka 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+
7 Na Yehova akawa pamoja naye.+ Popote ambapo alienda, alitenda kwa busara;+ naye alimwasi mfalme wa Ashuru wala hakumtumikia.+
32 Ikiwa, kwa kweli, hawezi kufanya hivyo, basi yule akiwa bado yuko mbali sana huyu hutuma nje baraza la mabalozi na kuomba amani.+