2 Mambo ya Nyakati 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+ Zaburi 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova wa majeshi yuko pamoja nasi;+Mungu wa Yakobo ni kilele chetu salama.+ Sela. Zaburi 60:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mungu atatuwezesha kupata nguvu,+Na yeye mwenyewe atawakanyagia chini wapinzani wetu.+
2 Kwa hiyo akaenda mbele ya Asa na kumwambia: “Mnisikilize mimi, Ee Asa na Yuda wote na Benyamini! Yehova yuko pamoja nanyi ikiwa ninyi mko pamoja naye;+ nanyi mkimtafuta,+ atawaruhusu mumpate, lakini mkimwacha yeye atawaacha ninyi.+