Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+

  • Zaburi 78:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Naye mwishowe akaiacha maskani ya Shilo,+

      Lile hema ambalo alikaa ndani yake katikati ya watu wa udongo.+

  • Isaya 63:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa muda kidogo watu wako watakatifu+ walikuwa na miliki. Adui zetu wenyewe wamepakanyaga patakatifu pako.+

  • Isaya 64:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki