Ayubu 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+ Yeremia 52:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+ Waroma 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+
19 Yupo Yeye ambaye hajaonyesha upendeleo kwa wakuuWala hakumwonyesha mwenye cheo ufikirio kuliko yule wa hali ya chini,+Kwa maana wao wote ni kazi ya mikono yake.+
24 Zaidi ya hayo, yule mkuu wa walinzi akamchukua Seraya+ mkuu wa makuhani na Sefania+ kuhani wa pili na wale watunza-milango watatu,+