21Neno+ lililomjia Yeremia kutoka kwa Yehova, wakati Mfalme Sedekia+ alipotuma kwake Pashuri+ mwana wa Malkiya na Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kusema:
25 ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema hivi: “Kwa sababu wewe umetuma barua+ katika jina lako kwa watu wote walioko Yerusalemu, na kwa Sefania+ mwana wa Maaseya, kuhani, na kwa makuhani wote, ukisema,