17 Na hata akaandika barua+ za kumshutumu Yehova Mungu wa Israeli+ na kuongea vibaya juu yake, akisema: “Kama miungu+ ya mataifa ya nchi, ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu,+ vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hatawakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu.”