2 Wafalme 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo Hezekia akaichukua ile barua kutoka mkononi mwa wale wajumbe, akaisoma,+ kisha Hezekia akaenda katika nyumba ya Yehova, akaitandaza mbele za Yehova.+ Nehemia 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwishowe Sanbalati+ akatuma mtumishi wake akiwa na neno lilelile mara ya tano, pamoja na barua iliyokuwa wazi mkononi mwake.
14 Ndipo Hezekia akaichukua ile barua kutoka mkononi mwa wale wajumbe, akaisoma,+ kisha Hezekia akaenda katika nyumba ya Yehova, akaitandaza mbele za Yehova.+
5 Mwishowe Sanbalati+ akatuma mtumishi wake akiwa na neno lilelile mara ya tano, pamoja na barua iliyokuwa wazi mkononi mwake.