30 Nawe usikilize ombi la kutaka kibali+ la mtumishi wako na la watu wako Israeli ambalo wanasali kuelekea mahali hapa; nawe usikilize katika makao yako, mbinguni,+ nawe usikie na kusamehe.+
5 Na wakati wa toleo la nafaka+ la jioni nikasimama kutoka kwenye fedheha yangu, vazi langu na koti langu likiwa limepasuliwa, kisha nikainama nikapiga magoti+ na kumnyooshea mikono Yehova Mungu wangu.+