Isaya 37:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+ Ufunuo 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye akafungua kinywa chake kwa kumkufuru+ Mungu, kulikufuru jina lake na makao yake, hata wale wanaokaa mbinguni.+
29 Kwa sababu kujichochea kwako juu yangu+ na kunguruma kwako kumepanda mpaka ndani ya masikio yangu.+Nami hakika nitatia kulabu yangu puani mwako na lijamu yangu katikati ya midomo yako,+Nami hakika nitakurudisha kupitia njia ile uliyoijia.”+
6 Naye akafungua kinywa chake kwa kumkufuru+ Mungu, kulikufuru jina lake na makao yake, hata wale wanaokaa mbinguni.+