2 Lakini Farao akasema: “Yehova ni nani,+ hivi kwamba mimi niitii sauti yake na kuwaruhusu Israeli waende zao?+ Simjui Yehova hata kidogo+ na tena sitawaruhusu Israeli waende zao.”+
13 Kwa habari yako, wewe umesema moyoni mwako, ‘Nitaenda juu mbinguni.+ Nitakiinua kiti changu cha ufalme+ juu ya nyota+ za Mungu, nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano,+ katika sehemu za mbali zaidi za kaskazini.+
25 Naye atasema maneno mabaya kumhusu yule Aliye Juu Zaidi,+ naye atawasumbua bila kikomo watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Na yeye atakusudia kubadili nyakati+ na sheria,+ na wao watatiwa mkononi mwake kwa wakati mmoja, na nyakati na nusu ya wakati.+