Mathayo 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+ Ufunuo 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+ Ufunuo 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa. Ufunuo 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+ Ufunuo 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nami nikaona kwamba yule mwanamke amelewa damu+ ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+ Basi, nilipomwona nilishangaa kwa mshangao mkubwa.+ Ufunuo 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+
9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+
7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+
7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.
6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+
6 Nami nikaona kwamba yule mwanamke amelewa damu+ ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+ Basi, nilipomwona nilishangaa kwa mshangao mkubwa.+
24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+