Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Ufunuo 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na wakiisha kumaliza kutoa ushahidi wao, yule mnyama-mwitu anayepanda kutoka katika abiso+ atapigana vita nao na kuwashinda na kuwaua.+

  • Ufunuo 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akapewa ruhusa+ ya kupigana vita na watakatifu na kuwashinda,+ naye akapewa mamlaka juu ya kila kabila na watu na lugha na taifa.

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

  • Ufunuo 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikaona kwamba yule mwanamke amelewa damu+ ya watakatifu na damu ya mashahidi wa Yesu.+

      Basi, nilipomwona nilishangaa kwa mshangao mkubwa.+

  • Ufunuo 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Ndiyo, ndani yake ilipatikana damu+ ya manabii+ na ya watakatifu+ na ya wale wote ambao wameuawa juu ya dunia.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki