Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Usiogope mateso ambayo yanakaribia kukupata.+ Tazama! Ibilisi+ ataendelea kuwatupa gerezani baadhi yenu ili mjaribiwe kwa ukamili,+ na ili muwe na dhiki+ siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufikia kifo,+ nami nitakupa taji la uzima.+

  • Ufunuo 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Ninajua mahali unapokaa, yaani, mahali kilipo kiti cha ufalme cha Shetani; na bado unaendelea kulishika sana jina langu,+ nawe hukukana imani yako katika mimi+ hata katika siku za Antipa, shahidi+ wangu, aliye mwaminifu, aliyeuawa+ kando yenu, mahali anapokaa Shetani.

  • Ufunuo 12:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na yule joka mkubwa akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke,+ naye akaenda zake kupigana vita na wale waliobaki wa uzao wake, wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi+ kumhusu Yesu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki