Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Ndipo watu watakapowatia ninyi katika dhiki+ na kuwaua+ ninyi, nanyi mtachukiwa+ na mataifa yote kwa sababu ya jina langu.+

  • Matendo 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 lakini mtapokea nguvu+ wakati roho takatifu itakapofika juu yenu, nanyi mtakuwa mashahidi+ wangu katika Yerusalemu+ na pia katika Yudea yote na Samaria+ na mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”+

  • Ufunuo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Mimi Yohana, ndugu yenu na mshiriki pamoja nanyi katika dhiki+ na ufalme+ na uvumilivu+ kwa kushirikiana na Yesu,+ nilikuja kuwa katika kisiwa kinachoitwa Patmo kwa sababu ya kusema juu ya Mungu na kutoa ushahidi kumhusu Yesu.+

  • Ufunuo 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Naye alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi+ za wale waliouawa+ kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya kazi ya ushahidi+ waliyokuwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki