Ufunuo 13:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akasimama tuli juu ya mchanga+ wa bahari. Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+
13 Naye akasimama tuli juu ya mchanga+ wa bahari. Nami nikaona mnyama-mwitu+ akipanda kutoka katika bahari,+ mwenye pembe kumi+ na vichwa saba,+ na mataji kumi juu ya pembe zake, lakini juu ya vichwa vyake majina yenye makufuru.+