Luka 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 “Simoni, Simoni, tazama! Shetani+ amedai kuwapata ninyi ili awapepete kama ngano.+ Ufunuo 12:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na yule joka mkubwa akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke,+ naye akaenda zake kupigana vita na wale waliobaki wa uzao wake, wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi+ kumhusu Yesu.
17 Na yule joka mkubwa akawa na ghadhabu kumwelekea yule mwanamke,+ naye akaenda zake kupigana vita na wale waliobaki wa uzao wake, wanaoshika amri za Mungu na walio na kazi ya kutoa ushahidi+ kumhusu Yesu.