-
Danieli 4:23Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
23 “ ‘Na kwa sababu mfalme aliona mlinzi, aliye mtakatifu,+ akishuka kutoka mbinguni, ambaye pia alikuwa akisema: “Ukateni mti uanguke, na kuuharibu. Hata hivyo, kiacheni kisiki chake katika udongo, lakini kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba, katikati ya majani ya mwituni, na kilowane maji kwa umande wa mbinguni, fungu lake na liwe pamoja na wanyama wa mwituni mpaka nyakati saba zipite juu yake,”+
-