Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Kwa nini umempiga punda wako mara hizi tatu? Tazama! Mimi—mimi nimekuja kukuzuia, kwa sababu njia yako imekwenda moja kwa moja kinyume cha mapenzi yangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

      Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Zaburi 89:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+

      Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+

  • Danieli 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Niliendelea kutazama katika maono ya kichwa changu kitandani mwangu, na, tazama! mlinzi,+ aliye mtakatifu,+ akishuka kutoka mbinguni.

  • Danieli 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikamsikia mtakatifu+ fulani akisema, na mtakatifu mwingine akamwambia yule mtakatifu aliyekuwa akisema: “Je, maono ya dhabihu ya daima+ na ya makosa yanayosababisha ukiwa+ yatakuwa kwa muda mrefu kadiri gani, ili kufanya mahali patakatifu na pia jeshi viwe vitu vya kukanyagwa-kanyagwa?”+

  • Mathayo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Matendo 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Karibu tu na saa tisa+ ya mchana akaona wazi katika maono+ malaika+ wa Mungu akiingia kwake na kumwambia: “Kornelio!”

  • Matendo 12:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Papo hapo malaika wa Yehova akampiga,+ kwa sababu hakumpa Mungu utukufu;+ naye akaliwa na wadudu akakata pumzi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki