32 Ndipo malaika wa Yehova akamwambia: “Kwa nini umempiga punda wako mara hizi tatu? Tazama! Mimi—mimi nimekuja kukuzuia, kwa sababu njia yako imekwenda moja kwa moja kinyume cha mapenzi yangu.+
13 Nami nikamsikia mtakatifu+ fulani akisema, na mtakatifu mwingine akamwambia yule mtakatifu aliyekuwa akisema: “Je, maono ya dhabihu ya daima+ na ya makosa yanayosababisha ukiwa+ yatakuwa kwa muda mrefu kadiri gani, ili kufanya mahali patakatifu na pia jeshi viwe vitu vya kukanyagwa-kanyagwa?”+
10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+