Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye akasema:

      “Yehova—alikuja kutoka Sinai,+

      Naye akamulika juu yao kutoka Seiri.+

      Aliangaza kutoka katika eneo lenye milima la Parani,+

      Naye alikuwa pamoja na makumi ya maelfu ya watakatifu,+

      Mashujaa wao kwenye mkono wake wa kuume.+

  • Zaburi 89:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mungu anapaswa kupewa heshima katikati ya kikundi cha rafiki za karibu cha watakatifu;+

      Yeye ni mkuu na mwenye kuogopesha juu ya wote wanaomzunguka pande zote.+

  • Danieli 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikamsikia mtakatifu+ fulani akisema, na mtakatifu mwingine akamwambia yule mtakatifu aliyekuwa akisema: “Je, maono ya dhabihu ya daima+ na ya makosa yanayosababisha ukiwa+ yatakuwa kwa muda mrefu kadiri gani, ili kufanya mahali patakatifu na pia jeshi viwe vitu vya kukanyagwa-kanyagwa?”+

  • Mathayo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Angalieni msimdharau mmoja wa hawa wadogo; kwa maana ninawaambia ninyi kwamba malaika zao+ mbinguni sikuzote huuona uso wa Baba yangu aliye mbinguni.+

  • Luka 4:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Ah! Tuna nini nawe,+ Yesu Mnazareti?+ Je, umekuja kutuangamiza? Ninajua+ wewe ni nani, Mtakatifu wa Mungu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki