Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 2:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 akaja kukaa katika jiji linaloitwa Nazareti,+ ili lipate kutimizwa lile lililosemwa kupitia manabii: “Yeye ataitwa Mnazareti.”+

  • Luka 18:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Wakamwambia: “Yesu Mnazareti anapitia hapa!”+

  • Yohana 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso. Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+

  • Matendo 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki