Mathayo 27:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+ Marko 15:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na maandishi ya shtaka+ juu yake yakaandikwa, “Mfalme wa Wayahudi.”+ Luka 23:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kulikuwa pia na maandishi juu yake: “Huyu ndiye mfalme wa Wayahudi.”+
37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+