Mathayo 27:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+ Luka 23:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kulikuwa pia na maandishi juu yake: “Huyu ndiye mfalme wa Wayahudi.”+ Yohana 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso. Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+
37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake shtaka juu yake, kwa kuandika: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+
19 Pilato akaandika pia tangazo na kuliweka juu ya huo mti wa mateso. Liliandikwa: “Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi.”+