Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kulikuwa na mto wa moto unaotiririka kutoka mbele zake.+ Kulikuwa na maelfu elfu walioendelea kumtumikia,+ na elfu kumi mara elfu kumi walioendelea kusimama mbele zake.+ Ile Mahakama+ ikaketi, na vitabu vikafunguliwa.

  • Wagalatia 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Basi, kwa nini Sheria? Iliongezwa ili kufanya makosa yawe wazi,+ mpaka ufike uzao+ ambao ulikuwa umepewa ahadi; na ilipitishwa kupitia malaika+ kwa mkono wa mpatanishi.+

  • Yuda 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndiyo, Enoko,+ wa saba kutoka kwa Adamu, alitoa unabii pia kuwahusu, wakati aliposema: “Tazama! Yehova alikuja pamoja na watakatifu wake makumi ya maelfu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki