Matendo 7:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi. Matendo 7:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 ninyi mliopokea Sheria kama ilivyopitishwa na malaika+ lakini hamkuishika.” Waebrania 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+
38 Huyo ndiye+ aliyekuja kuwa katikati ya kutaniko+ katika nyika pamoja na malaika+ aliyesema naye juu ya Mlima Sinai na pamoja na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu+ yaliyo hai ili awape ninyi.
2 Kwa maana ikiwa neno lililosemwa kupitia malaika+ lilikuwa imara, na kila kosa na tendo la kutotii lilipokea malipo kupatana na haki;+