15 “Kwa hiyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kama vile lilivyosemwa kupitia nabii Danieli, likiwa limesimama katika mahali patakatifu,+ (msomaji na atumie utambuzi,)
14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+