Danieli 11:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na kutakuwa na mikono itakayosimama, kutoka kwake; nayo itapatia unajisi patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa dhabihu ya daima.+ “Nao watalisimamisha lile chukizo+ linalosababisha ukiwa.+ Marko 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+
31 Na kutakuwa na mikono itakayosimama, kutoka kwake; nayo itapatia unajisi patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa dhabihu ya daima.+ “Nao watalisimamisha lile chukizo+ linalosababisha ukiwa.+
14 “Hata hivyo, mtakapoona lile chukizo+ linalosababisha ukiwa likiwa+ limesimama mahali ambapo halipaswi (msomaji na atumie utambuzi),+ ndipo wale walio katika Yudea waanze kukimbilia milimani.+