3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+
12 Na jeshi likatolewa mwishowe,+ pamoja na ile dhabihu ya daima,+ kwa sababu ya makosa;+ nayo ikaendelea kutupa kweli+ chini,+ ikatenda na kupata mafanikio.+