Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Na hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu hiyo: wana-kondoo dume kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku daima.+

  • Hesabu 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+

  • Zaburi 119:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  44 Nami nitaishika sheria yako daima,+

      Mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+

  • Danieli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na jeshi likatolewa mwishowe,+ pamoja na ile dhabihu ya daima,+ kwa sababu ya makosa;+ nayo ikaendelea kutupa kweli+ chini,+ ikatenda na kupata mafanikio.+

  • Danieli 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na kutoka wakati wa kuondolewa+ kwa ile dhabihu ya daima+ na kusimamishwa kwa lile chukizo+ linalosababisha ukiwa, kutakuwa na siku 1,290.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki