Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 28:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Mbali na lile toleo la kuteketezwa la asubuhi, ambalo ni kwa ajili ya toleo la kuteketezwa+ la daima,+ mtayatoa hayo.

  • Ezra 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na baadaye kulikuwa na toleo la kuteketezwa la daima+ na lile la miezi mipya+ na kwa ajili ya majira yote yaliyotakaswa ya sherehe+ za Yehova na kwa ajili ya kila mtu aliyetoa kwa kupenda toleo la hiari+ kwa Yehova.

  • Hosea 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Chukueni maneno pamoja nanyi mrudi kwa Yehova.+ Mwambieni hivi, enyi nyote, ‘Samehe kosa letu;+ na ukubali lililo jema, nasi tutatoa ng’ombe-dume wachanga wa midomo yetu.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki