Ezra 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baadaye walitoa dhabihu za kuteketezwa zilizotolewa kwa ukawaida+ na matoleo kwa ajili ya miezi mipya+ na majira yote yaliyotakaswa+ ya sherehe za Yehova, na pia toleo la hiari la kila mtu aliyemtolea Yehova kwa kupenda.+
5 Baadaye walitoa dhabihu za kuteketezwa zilizotolewa kwa ukawaida+ na matoleo kwa ajili ya miezi mipya+ na majira yote yaliyotakaswa+ ya sherehe za Yehova, na pia toleo la hiari la kila mtu aliyemtolea Yehova kwa kupenda.+