3 “Nawe utawaambia, ‘Hili ndilo toleo linalotolewa kwa njia ya moto ambalo mtamtolea Yehova: wana-kondoo dume ambao hawana kasoro wenye umri wa mwaka mmoja, wawili kila siku wakiwa toleo la kuteketezwa daima.+
11 Nayo ikajivuna sana hata kwa Mkuu+ wa jeshi, na dhabihu ya daima+ ikaondolewa mbali kutoka kwake, na mahali palipofanywa imara pa patakatifu pake pakatupwa chini.+