Danieli 8:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+
25 Na kulingana na ufahamu wake atafanya udanganyifu ufanikiwe mkononi mwake.+ Na atajivuna sana moyoni mwake,+ naye atawaharibu wengi wakati ambapo hakuna mahangaiko.+ Na atasimama kumpinga Mkuu wa wakuu,+ lakini atavunjwa pasipo kutumia mkono.+