Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 48:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 ‘Mlewesheni,+ kwa maana ameonyesha majivuno sana juu ya Yehova mwenyewe;+ na Moabu amegaagaa katika matapiko+ yake, naye amekuwa kitu cha kudhihakiwa, yeye mwenyewe.

  • Danieli 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Bali ulijiinua juu ya Bwana wa mbingu,+ nao wakaleta mbele yako vyombo vya nyumba yake;+ na wewe pamoja na wakuu wako, masuria wako na wake zako wadogo mmekuwa mkivinywea divai. Nawe umeisifu miungu minyonge ya fedha na ya dhahabu, shaba, chuma, miti na mawe,+ ambayo haioni chochote, wala kusikia chochote, wala kujua chochote;+ lakini hukumtukuza+ Mungu ambaye pumzi yako imo mkononi mwake+ na ambaye njia zako zote ni zake.+

  • Danieli 8:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nayo ikajivuna sana hata kwa Mkuu+ wa jeshi, na dhabihu ya daima+ ikaondolewa mbali kutoka kwake, na mahali palipofanywa imara pa patakatifu pake pakatupwa chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki