Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wao wamenichochea niwe na wivu kwa kile ambacho si mungu;+

      Wameniudhi kwa sanamu zao za ubatili;+

      Na mimi, nitawachochea wawe na wivu kwa kile ambacho si kikundi cha watu;+

      Kwa taifa jinga nitawatia uchungu.+

  • Zaburi 115:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Zina kinywa, lakini haziwezi kusema;+

      Zina macho, lakini haziwezi kuona;+

  • Zaburi 135:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Zina masikio, lakini haziwezi kusikia lolote.+

      Pia hazina roho yoyote katika vinywa vyao.+

  • Isaya 46:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wao huichukua begani,+ huibeba na kuiweka mahali pake ili isimame tuli. Hiyo haisongi kutoka mahali pake inaposimama.+ Mtu hata huililia, lakini haijibu; haimwokoi mtu kutoka katika taabu yake.+

  • 1 Wakorintho 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sasa kuhusu kula+ vyakula vinavyotolewa kwa sanamu, tunajua kwamba sanamu si kitu+ katika ulimwengu, na kwamba hakuna Mungu isipokuwa mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki