Isaya 37:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+ Matendo 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+
19 Na miungu yao iliteketezwa kwa moto,+ kwa sababu hiyo haikuwa miungu,+ bali kazi ya mikono ya mwanadamu,+ miti na mawe, hivi kwamba wakaiharibu.+
29 “Kwa hiyo, kwa kuwa sisi ni uzao wa Mungu,+ hatupaswi kuwazia kwamba Mungu+ ni kama dhahabu au fedha au jiwe, kama kitu kilichochongwa kwa ufundi na mtungo wa mwanadamu.+