Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 11:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na kutakuwa na mikono itakayosimama, kutoka kwake; nayo itapatia unajisi patakatifu,+ ile ngome, na kuondoa dhabihu ya daima.+

      “Nao watalisimamisha lile chukizo+ linalosababisha ukiwa.+

  • 1 Wakorintho 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yeyote akiliangamiza hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza yeye;+ kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu,+ nanyi ni+ hekalu+ hilo.

  • Ufunuo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “ ‘Yeye atakayeshinda—nitamfanya kuwa nguzo+ katika hekalu+ la Mungu wangu,+ naye hataondoka ndani yake tena kwa vyovyote, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu na jina la jiji la Mungu wangu, Yerusalemu+ jipya linaloshuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na lile jina langu jipya.+

  • Ufunuo 11:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Lakini kwa habari ya ua ulio nje+ ya patakatifu pa hekalu, utupe nje kabisa wala usiupime, kwa sababu mataifa+ wamepewa huo, nao watalikanyagia chini ya miguu lile jiji takatifu+ kwa miezi 42.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki