Isaya 54:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mtu yeyote akishambulia, haitakuwa kwa maagizo yangu.+ Yeyote atakayekushambulia ataanguka kwa sababu yako.”+ 2 Wathesalonike 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+
15 Mtu yeyote akishambulia, haitakuwa kwa maagizo yangu.+ Yeyote atakayekushambulia ataanguka kwa sababu yako.”+
6 Hii inazingatia kwamba ni jambo la uadilifu kwa upande wa Mungu kuwalipa dhiki wale wanaowafanyia ninyi dhiki,+