Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Alimpata katika nchi ya nyika,+

      Na katika jangwa tupu, lenye kulia.+

      Alianza kumzunguka,+ kumtunza,+

      Kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

  • Ezekieli 38:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nami nitajiingiza mwenyewe katika hukumu+ pamoja naye, kwa tauni+ na kwa damu;+ nami nitanyesha mvua kubwa yenye kufurika na mawe,+ moto+ na kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya vikundi vingi vya watu vitakavyokuwa pamoja naye.+

  • Zekaria 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa maana Yehova wa majeshi amesema hivi, ‘Baada ya utukufu+ amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi;+ kwa maana yeye anayewagusa ninyi+ anaigusa mboni ya jicho langu.+

  • Zekaria 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na itatukia katika siku hiyo+ kwamba nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe+ lenye kulemea vikundi vyote vya watu. Wale wote wanaoliinua bila shaka watajitia mikwaruzo mikali; na mataifa yote ya dunia hakika yatakusanyika+ kupigana naye.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki