Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Uliendelea kutazama mpaka jiwe likakatwa bila kutumia mikono,+ nalo likaipiga sanamu hiyo juu ya nyayo zake za chuma na za udongo uliofinyangwa, likaziponda.+

  • Danieli 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 kama vile ulivyoona kwamba kutoka katika mlima jiwe lilikatwa bila kutumia mikono,+ na kwamba liliponda kile chuma, ile shaba, ule udongo uliofinyangwa, ile fedha na ile dhahabu.+ Mungu Mkuu+ mwenyewe amemjulisha mfalme mambo yatakayotokea baada ya haya.+ Na ndoto hiyo ni yenye kutegemeka, na tafsiri yake ni yenye kuaminika.”+

  • Mathayo 21:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Pia, mtu atakayeangukia jiwe hilo atavunjika-vunjika. Na yeyote ambaye litamwangukia, litamponda-ponda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki