Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 2:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 kama vile ulivyoona kwamba kutoka katika mlima jiwe lilikatwa bila kutumia mikono,+ na kwamba liliponda kile chuma, ile shaba, ule udongo uliofinyangwa, ile fedha na ile dhahabu.+ Mungu Mkuu+ mwenyewe amemjulisha mfalme mambo yatakayotokea baada ya haya.+ Na ndoto hiyo ni yenye kutegemeka, na tafsiri yake ni yenye kuaminika.”+

  • Danieli 7:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akapewa utawala+ na heshima+ na ufalme,+ ili vikundi vyote vya watu, vya mataifa na lugha vimtumikie yeye.+ Utawala wake ni utawala unaodumu mpaka wakati usio na kipimo ambao hautapitilia mbali, na ufalme wake ni ufalme ambao hautaharibiwa.+

  • Danieli 7:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “ ‘Na ufalme na utawala na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote wakapewa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’+

  • Ufunuo 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mwanamke yule akamzaa mwana,+ mwanamume, atakayechunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma.+ Na mtoto wake akanyakuliwa mpaka kwa Mungu na kwenye kiti chake cha ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki