Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Yule atakayeshinda—nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, naye hataondoka humo kamwe, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu+ na jina la jiji la Mungu wangu, Yerusalemu Jipya+ linaloshuka kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu jipya.+

  • Ufunuo 3:12
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 12 “‘Yeye ashindaye—hakika mimi nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, naye hakika kwa vyovyote hataenda kutoka katika hilo tena kamwe, nami hakika nitaandika juu yake jina la Mungu wangu na jina la jiji la Mungu wangu, Yerusalemu jipya lishukalo kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu jipya.

  • Ufunuo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 3:12 w09 1/15 31; re 64-65, 280-281, 292; w03 5/15 18-19

  • Ufunuo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 3:12

      Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 145

      Mnara wa Mlinzi,

      1/15/2009, uku. 31

      5/15/2003, kur. 18-19

      Upeo wa Ufunuo, kur. 64-65, 280-281, 292

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki